CHONDE CHONDE JAMAA ZETU WA MABONDENI…………!
Hali kama hii bado watu wanakaidi kuhama katika mazingila
haya. Hivi tatizo ni nini hasa, ni kutaka kukaa mjini, ama kushi kwa
unafuu; kwani pamoja na kuombwa waondoke mabondeni bado wanahisi kama wanaonewa. Sasa siku watakapojikuta wamekufa maji
watamlaumu nani ?
No comments:
Post a Comment