Friday 23 March 2012


CHONDE CHONDE  JAMAA ZETU WA MABONDENI…………!








Hali kama hii bado watu wanakaidi kuhama katika mazingila haya. Hivi tatizo ni nini hasa,  ni kutaka kukaa mjini, ama kushi kwa unafuu; kwani pamoja na kuombwa waondoke mabondeni bado wanahisi kama wanaonewa. Sasa siku watakapojikuta wamekufa maji watamlaumu nani ?


No comments:

Post a Comment